NA Mwandishi Wetu, Mtwara
maipacarusha20@gmail.com
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan amesimama njiani kuzungumza na Wananchi wa Nanyumbu Mkoani Mtwara waliosimamisha msafara wake Barabarani kwa ajili ya kutaka kumsikiliza na kumsalimia leo September 17,2023 akiwa kwenye Ziara ya Kikazi Mkoani humo.
Rais Dkt,Samia amepata wasaa wa kusikiliza changamoto mbalimbali za Wananchi na kutoa nafasi kwa Mawaziri kutolea ufafanuzi na majibu ya Papo kwa Papo.!!
No comments:
Post a Comment