Mkurugenzi wa idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Mobhare Matinyi akiwa katika kikao na menejimentinya Tanapa |
Na Mwandishi wetu, MAIPAC
maipacarusha20@gmail.com
Mkurugenzi wa idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Mobhare Matinyi, ametembelea Makao Makuu ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na kukutana na Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA, Mussa Juma Kuji, na kisha kufanya kikao kifupi na Menejimenti ya TANAPA jijini, Arusha
Katika kikao hicho alipewa maelezo ya utendaji kazi wa Hifadhi zote nchini ambapo naye amesema atafanya ziara ya siku tatu katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Bw. Mobhare Matinyi katika Ziara hiyo ya siku 3 kutembelea Hifadhi za Taifa na kujionea shughuli za Utalii na Uhifadhi na kukagua miundombinu hasa barabara katika Hifadhi ya Taifa Serengeti.
Bw. Mobhare Matinyi katika Ziara hiyo ya siku 3 kutembelea Hifadhi za Taifa na kujionea shughuli za Utalii na Uhifadhi na kukagua miundombinu hasa barabara katika Hifadhi ya Taifa Serengeti.
Kamishna wa uhifadhi Tanapa Mussa Juma Kuji akimkabidhi MSEMAJI wa Serikali Jarida la Tanapa |
No comments:
Post a Comment