ABIRIA WA BASI DOGO WANUSURIKA KUFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA LORI - MAIPAC MEDIA TANZANIA

Breaking

MAIPAC MEDIA TANZANIA

A Centre for Indigenous and Pastoralists Community Informations




Tuesday, 4 March 2025

ABIRIA WA BASI DOGO WANUSURIKA KUFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA LORI

 

Basi dogo la abiria Gari lililogonga 








Na Lilian Kasenene, Morogoro 


maipacarusha20@gmail.com 


ABIRIA waliokuwa wakisafiri kwa basi dogo la abiria maarufu kama daladala wamejeruhiwa baada ya gari hiyo kugongwa kwa nyuma na Lori aina ya Fuso Katika eneo la Kihonda Manispaa ya Morogoro, barabara kuu ya Morogoro-Dodoma.


Ajali hiyo imetomea majira ya asubuhi baada ya lori kumshinda dereva kwenye mteremko wa daraja la treni ya Mwendo Kasi (SGR).

No comments: