Wabunge WA Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakubali mikakati 10 ya kuboresha sekta ya Utalii.
Hapa ni habari picha za matukio bungeni
|
Waziri wa Maliasili na Utalii akijibu hoka za wabunge |
|
Nyuso za furaha |
|
Baadhi ya viongozi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii wakiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa mara baada ya Bajeti Yao kupitishwa na Bunge |
|
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt Hassan Abbas akiwa na mwenyekiti wa bodi ya TANAPA Jenerali Mstaafu Mwita Waitara wakipongezana baada ya Bajeti kupitishwa |
|
Wenyekiti WA BODI ya TANAPA Jenerali Mstaafu Mwita Waitara akimpongeza Waziri wa Maliasili na Utalii |
No comments:
Post a Comment