Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akisaini kitabu Cha maombolezo |
Katibu Mkuu CCM Taifa Daniel Chongolo |
Na Mwandishi Wetu, Arusha
maipacarusha20@gmail.com
Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi Taifa, Daniel Godfery Chongolo, akitafakari jambo wakati wa Ibaada Maalum ya Mazishi ya aliyekuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi (mstaafu) wa Jeshi la polisi nchini na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha, Marehemu Zelothe Stephene Zelothe nyumbani kwake, Kitongoji cha Olosiva kata ya Oloirieni, wilaya ya Arumeru.
Ratiba ya Mazishi inaendelea muda huu 30.10.2023
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina lake Libarikiwe🙏
No comments:
Post a Comment