Lengai Ole Sabaya akizungumza na mawakili wake katika chumba Cha Mahakama ya rufaa mapema leo |
Na Mwandishi Wetu Arusha
maipacarusha20@gmail.com
Kesi dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya kukatiwa rufaa na jamhuri imesikilizwa leo katika mahakama kuu kanda ya Arusha huku upande wa serikali wakieleza hoja zao saba mbele ya majaji watatu wa rufani.
Kesi hiyo yenyevuto wa kipeke imesikilizwa kwa muda wa masaa saba ambapo pia mabishano ya kisheria kwa upande wa utetezi wa sabaya na serikali ulikua mkubwa ambapo majira ya saa kumi na moja jioni kesi hiyo ilimalizika na huku majaji wakisema maamuzi ya rufani hiyo itatolewa baadae kupitia kwa msajili wa mahakama kutoa taarifa kwa mawakili wa pande zote mbili.
Kesi ilikua ikisikilizwa na majaji watatu wakiongozwa na Mwenyekiti Jaji Jacobs Mwambegele, Jaji Ignas Kitusi na Jaji Leila Mgonya
Mawakili watetezi wa Sabaya wakiongozwa na WAKILI Msomi Mahuna na Sylvester Kahunduka wamesisitiza mteja wao hana hatua
No comments:
Post a Comment