Na Lilian Kasenene, Morogoro
maipacarusha20@gmail.com
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amewasili Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku moja, ambapo katika ziara yake hiyo atakagua mitambo ya kusukuma maji Tumbaku, kukagua shughuli za uzalishaji maji Mafiga, kushuhudia utiaji saini mkataba wa uboreshaji wa huduma ya maji - Gairo pamoja na kuzungumza Wananchi.
Anafanya ziara yake leo Jumanne tarehe 23 Julai 2024 Manispaa ya Morogoro na Wilaya ya Gairo.
No comments:
Post a Comment