![]() |
| Mwenyekiti wa MISA- Tan Edwin Soko |
![]() |
| Meneja wa EWURA Kanda ya Mashariki |
![]() |
| Wanacahama wa MISA-Tan wakisikiza mada |
maipacarusha20@gmail.com
Watumiaji wa Huduma za nishati na maji nchini wametakiwa kuwasilisha malalamiko yao kwenye Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji EWURA ambayo yemeshindwa kutatuliwa na watoa huduma za nishati na maji ili yaweze kupatiwa ufumbuzi.
Akizungumza katika semina elekezi kwa wanachama wa Taasisi ya vyombo vya habari kusini mwa Afrika tawi la Tanzania (MISA-Tan), Meneja wa EWURA Kanda ya Mashariki Nyarabu Musira amesema bado jamii kubwa ya watanzania hawajaelewa majukumu ya EWURA hivyo kuwataka waandishi wa habari kwenda kuwaelimisha wananchi kuifahama EWURA na majukumu yake.
"Jukumu letu EWURA ni Kutoa elimu kwa umma juu ya na kupitia nyinyi waandishi na wanachama wa MISA- Tan tunaamimi umma utaenda kufahamu vema majukumu ya EWURA kwa yoyote mwenye Malalamiko dhidi ya huduma za nishati na Maji" alisema
Awali Mwenyekiti wa Taasisi ya vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania MISA- TAN Edwini Soko amesema lengo la mafunzo hayo ni kujengeana uwezo na kuchechemua misingi ya kazi za waandishi wa habari kwenye kuleta maendeleo .
"Jukumu letu EWURA ni Kutoa elimu kwa umma juu ya na kupitia nyinyi waandishi na wanachama wa MISA- Tan tunaamimi umma utaenda kufahamu vema majukumu ya EWURA kwa yoyote mwenye Malalamiko dhidi ya huduma za nishati na Maji" alisema
Awali Mwenyekiti wa Taasisi ya vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania MISA- TAN Edwini Soko amesema lengo la mafunzo hayo ni kujengeana uwezo na kuchechemua misingi ya kazi za waandishi wa habari kwenye kuleta maendeleo .
"Ndugu wanachama mafunzo haya ni muhimu sana kwetu wanahabari ili tuandike habari sahihi kuhusu Ewura na majukumu yake, ni Matumaini yangu Kila moja HAPA atakuwa mwakini kwenye kuandika na kuelezea kwa kina majukumu ya Ewura kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla" Alisema Mwenyekiti huyo
Baadhi ya wandishi habari waliopatiwa semina hiyo wameelezea namna watakavyoenda kutumia kalama zao kuelimisha jamii juu ya shughuli zinazofanywa na EWURA na namna bora ya kutoa malalamiko yao pindi wanapopapata changamoto huduma wanazozitumia
Baadhi ya wandishi habari waliopatiwa semina hiyo wameelezea namna watakavyoenda kutumia kalama zao kuelimisha jamii juu ya shughuli zinazofanywa na EWURA na namna bora ya kutoa malalamiko yao pindi wanapopapata changamoto huduma wanazozitumia
Mwavita Mkondo amesema kuwa mafunzo hayo yamempa.mwanga mkubwa wa namalna Ewura inavyofanya kazi na kwa Sasa atakuwa makini kwenye kuelimisha umma pale unapopata changamoto katika sekta ya maji na au nishati.
Mapuli Misalaba Mwandishi wa Misalaba media amesema kuwa ni mafunzo muhimu kwake na kwa Sasa amepata uelewa mpana wa namna ya kuandika habari za Ewura.



No comments:
Post a Comment