![]() |
| Rais Samia Suluhu Hassani |
mwandishi wetu
maipacarusha20@gmail.com
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa wa Wakuu wa Mikoa na Makatibu tawala wa Mikoa.
kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Dkt. Mosses Kusiluka imeonesha uteuzi wa wakuu wa mnikoa wapya wanne na waliohamishwa vituo vya kazi ni sita wakati waliostaafu ni wawili
Kwa taarifa zaidi soma hapa chini



No comments:
Post a Comment