- MAIPAC MEDIA TANZANIA

Breaking

MAIPAC MEDIA TANZANIA

A Centre for Indigenous and Pastoralists Community Informations




Thursday, 17 March 2022

CHEKI HAPA HABARI PICHA JUU MATUKIO MBALIMBALI YANAYOHUSU WAFUGAJI NCHINI TANZANIA


Vijana wa jamii ya kimasai wakizungumza na wanahabari mkoani Arusha hivi kartibuni juu utetezi wa haki ya jamii za kifugaji katika wilaya za Simanjiro, Ngorongoro na Longido


Wafugaji wa jamii ya kimasai wakisikiliza kwa makini hotuba ya Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa hivi karibuni katika ukumbi wa NCAA


 

No comments: