CHEKI HAPA MAIPAC WALIVYOJIPANGA KATIKA KUENZI NA KUHIFADHI MAZINGIRA KWA KUTUMIA MAARIFA ASILIA - MAIPAC MEDIA TANZANIA

Breaking

MAIPAC MEDIA TANZANIA

A Centre for Indigenous and Pastoralists Community Informations




Tuesday, 27 September 2022

CHEKI HAPA MAIPAC WALIVYOJIPANGA KATIKA KUENZI NA KUHIFADHI MAZINGIRA KWA KUTUMIA MAARIFA ASILIA

 Project manager wa shirika la wanahabari wanaosaidia jamii za pembezoni MAIPAC Debora Makando akielezea namna mradi wa kuhifadhi mazingira, misitu, vyanzo vya maji na nyanda za malisho ulivyo na umuhimu kwakizazi cha sasa na baadae




Halima Mollel mkazi wa Kijiji cha Selela kata ya selela wilayani Monduli mkoani Arusha akifafanua jinsi wanavyotunza vyanzo vya maji



katibu wa msitu wa kijamii wa Enguserosambu uliopo wilayanin Ngorongoro mkoani Arusha akielezea namna msitu huo ulivyotunzwa kwa kutumia maarifa ya asili

No comments: