Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Singida |
Na: Mwandishi wetu Maipac
maipacarusha20@gmail.com
Sekretarieti ya CCM Taifa ikiongozwa na katibu Mkuu wa CCM Ndg.Daniel Chongolo akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Idara ya Organaizesheni Comred Issa Gavu pamoja na Katibu wa NEC Idara ya Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Mjema leo wamehitimisha ziara yao ya kukagua na kutekeleza ilani pamoja na Uhai wa Chama kwa kuzungumza na Wanachama,Wakereketwa wa CCM Pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Singida Katika Mkutano wa Hadhara Uliofanyika Katika Viwanja Vya Bombadia Mkoani Singida.
Pamoja na wao wameambatana na Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndg. Kenani Kihongosi wakiongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndg. Mohammed Kawaida.
#CCMImara
#KaziIendel
No comments:
Post a Comment