RAIS Samia Awateua Bashiru, Kombo na Dorothy Gwajima kuwa wabunge - MAIPAC MEDIA TANZANIA

Breaking

MAIPAC MEDIA TANZANIA

A Centre for Indigenous and Pastoralists Community Informations




Monday, 10 November 2025

RAIS Samia Awateua Bashiru, Kombo na Dorothy Gwajima kuwa wabunge

 



RAIS Samia Suluhu Hassan. Leo amewateua watu sita kuwa wabunge wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania wakiwepo, waliokuwa  mawaziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa pamoja na Waziri wa maendeleo ya jamii, Jinsia, wanawake na makundi maalum, Doroth Gwajima.

SOMA HAPA chini zaodi




No comments: